• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Bukoba Municipal Council
Bukoba Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango na Takwimu
      • Ardhi na Mipango miji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Usafi na Mazingira
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo Uwekezaji
    • Ufugaji Uwekezaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao vya Wah. Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
      • Mfuko wa Afya
      • Kodi ya Majengo
      • Hati Rasmi
    • Mpango Mkakati
      • Ripoti Mbalimbali
        • Council Annual Report
          • Kituo cha Habari
            • Taarifa kwa Umma
            • Video za shughuli za Ofisi/Kitaifa
            • HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.)
        • Quarterly Financial Report
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Fomu Mbalimbali
      • Leseni ya Biashara
      • Fomu ya uadilifu
      • Fomu ya OPRAS
    • Ripoti Mbalimbali
      • Council Annual Report
        • Kituo cha Habari
          • Taarifa kwa Umma
          • Video za shughuli za Ofisi/Kitaifa
          • HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.)
      • Quarterly Financial Report
    • Miongozo mbalimbali
      • Kanuni za Uchaguzi
      • Mwongozo wa Kuendesha Tovuti
      • Mwongozo wa Matumizi Bora, Sahihi na Salama ya Vifaa na Mifumo ya TEHAMA Serikalini
    • Bukoba MC Profile
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.)

Miradi ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPs)

Start Date: 2006-07-01
End Date: 2013-06-30

Miradi ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPs).

DADPs ni utekelezaji wa Mipango ya ASDP ngazi ya wilaya. Mipango hii hujumuisha miradi ya sekta za kilimo, mifugo, uvuvi na ushirika.

Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba ilianza kutekeleza  awamu ya kwanza ya Mipango ya Maendeleo ya kilimo ya wilaya (DADPs) mwaka 2006/2007.  Awamu hii ya kwanza ya utekelezaji  ilimalizika mwezi Juni 2013. Tangu kumalizika Kwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa miradi hii, Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba imekuwa katika kipindi cha mpito ikisubiri utekelezaji wa awamu ya pili ya DADPs.

Katika kipindi hiki cha mpito, Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba imekuwa ikitumia fedha kutoka vyanzo vyake vya ndani pamoja na fedha za serikali kuu (CDG) kutekeleza mipango ya kilimo.
Pamoja na hayo, baadhi tu ya miradi iliyotekelezwa katika awamu ya kwanza ya DADPs  ni kama ifuatavyo:

  1. Ujenzi wa kituo cha  kupokelea samaki katika kisiwa cha Ntoro- Nyabasige
  2. Kuwezesha  ufugaji wa Ng’ombe wa  maziwa 33 katika  vikundi vilivyopo kwenye mitaa 9 ya Bushaga, Bugambakamoi, Rwanzi, Kabalekangaiza, Nyarubanja, Kyasha, Kyamuzinga, Bunukangoma na  Ijuganyondo B.
  3. Ununuzi wa vifaa vya kuhifadhia na kusindika maziwa kwa wasindikaji 25 kutoka katika vikundi 4.
  4. Kuwezesha ufugaji wa kuku katika vikundi 4 kutoka katika mitaa ya Magoti, Rubumba, Bushaga na Ntungamo.
  5. Kuwezesha ujenzi wa masoko 2, soko la Buhembe pamoja na soko la Kitendaguro
  6. Kuwezesha kilimo cha nanasi na maembe katika kikundi kilichopo mtaa wa Ihyolo.


   Mafanikio katika Miradi ya Kilimo ya Wilaya (DADPs).

Baadhi ya mafanikio yaliyopatikana katika kutekeleza awamu ya kwanza ya miradi ya DADPs ni kama ifuatavyo:

  1. Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya mbolea ya samadi, uzalishaji wa mazao ya ndizi na mazao ya Bustani umeongezeka kwa 23%
  2. Kutokana na kuwezesha ufugaji wa ngombe wa maziwa, ng’ombe wa maziwa wameongezeka na maziwa yameongezeka kwa 16%
  3. Uwezeshwaji katika ufugaji wa kuku umeongeza uzalishaji wa kuku pamoja na uzalishaji wa mayai kwa 27%
  4. Lishe kwa wananchi imeboreshwa kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji  wa maziwa, mayai, ndizi, n.k.
  5. Kipato kwa wakulima na wafugaji kimeimarika kutoka na kuongezeka kwa uzalishaji wa ndizi, mazao ya bustani, mayai, maziwa n.k.
  6. Elimu ya ufugaji wa kuku na ng’ombe wa maziwa  imeenea kwa wafugaji walio wengi.
  7. Elimu  juu ya matumizi sahihi  ya mbolea ya samadi  imeenea kwa wakulima wengi.
  8. Usindikaji wa mazao – vikundi vya usindikaji eg. BUWEA.



Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA KUOMBA MIKOPO YA 10% INAYOTOLEWA NA HALMASHAURI KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU March 22, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR THE PROVISION OF CONSTRUCTION SUPERVISION CONSULTANCY SERVICES FOR URBAN INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT IN BUKOBA MUNICIPALITY UNDER THE TACTIC PROJECT March 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA February 05, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI ASISITIZA UTUNZWAJI WA VIFAA VYA UANDIKISHAJI.

    April 29, 2025
  • MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UPASUAJI WALETA FARAJA KWA KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA MANISPAA YA BUKOBA

    April 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA BUKOBA AONGOZA KIKAO KUHUSU UTOAJI WA DOZI YA PILI YA CHANJO YA POLIO

    April 15, 2025
  • KAMATI YA UCHUMI, AFYA NA ELIMU YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA BUKOBA

    April 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Mkurugenzi wa Manispaa ya Bukoba akitoa maelezo juu ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2023/2024
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Miradi ya Mbalimbali
  • Nyaraka mbalimbali
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Tovuti kuu ya Takwimu Huria

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bukoba Municipal Coucil

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 284 Bukoba

    Telephone: +255 28 2220226

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@bukobamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki ©2017 Manispaa ya Bukoba .Haki zote Zimehifadhiwa